Jumatatu, 21 Agosti 2017

MALIPO YOTE KWA MASHINE YA EFD

Vijana wa Kigamboni wakionesha utaalamu wao wa kutumia mashine ya EFD kwa viongozi wa Wilaya hiyo. Kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya  Mhe. Hashim Mgandilwa na Mkurugenzi Bw. Stephen Katemba



Mkuu wa Wilaya Mhe. Hashim Mgandilwa akiangalia risiti iliyochapishwa kwa mashine ya EFD kama inakidhi mahitaji ya Halmashauri na kuitambulisha kwa ufasaha.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Hashim Mgandilwa akionesha mfano wa risiti ya mashine ya EFD ambayo itatumika kwa malipo yote katika Halmashauri

Vijana wanaweza. Viondozi wa Halmashauri(waliovaa t-shirt za rangi ya kijani kibichi wakiangalia kama vijana wanaweza kutumia mashine za EFD kwa ufasaha

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni