Ijumaa, 29 Septemba 2017

MSAADA KWA WAZEE

Mkurugenzi Mkazi wa shirika la World Share la nchini Korea Nara Kim (wanne kutoka kulia) kwenye picha ya pamoja na uongozi wa kituo cha kulelea wazee Nunge walipofika kutoa msaada wa vitu mbalimbali.

BARAZA MAALUMU LA KUPITIA TAARIFA YA UFUNGAJI WA HESABU UNAOISHIA 30 JUNI

Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani ukiongozwa na Mstahiki Meya Maabad Suleiman Hoja kwa ajili ya  kupitisha  taarifa ya ufungaji wa Mahesabu kwa mwaka unaoishia 30 Juni 2017










Mkurugenzi Bw. Stephen E. Katemba (aliyesimama) akiwasilisha agenda

Viongozi wa Halmashauri wakifuatilia agenda mbalimbali kwa umakini


Waheshimiwa Madiwani wakisikiliza uwasilishaji wa Agenda tayari kwa kuchangia

Mhe. Sanya Bunaye Diwani wa Kata ya Kimbiji (wakwanza kulia) akichangia mada katika mkutano wa baraza