Jumatano, 11 Oktoba 2017

KARIBUNI SANA KUWEKEZA KIGAMBONI

Wageni mbalimbali wameendelea kumiminika kwa ajili ya kuwekeza katika Halmashauri yetu. Karibuni sana wote kwani Tanzania ya viwanda kigamboni inawezekana.

Mkurugenzi wa Halmashauri Bw. Stephen E. Katemba (katikati) akiwa na wawekezaji

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni