Mkurugenzi wa Halmashauri anawakaribisha wananchi wote kufika katika viwanja vilivyopo karibu na ofisi za Halmashauri kuanzia tarehe 10/10/2017 hadi 15/10/2017 kwa ajili ya kupima afya. Huduma zitolewazo ni pamoja na kupima maambukizi ya virusi vya ukimwi, shinikizo la damu,Kisukari, Saratani kwa akina mama/baba (Huduma inatolewa katika Hospitali ya Vijibweni) na Tezi dume.(Huduma inatolewa katika Hospitali ya Vijibweni)
KARIBUNI SANA.
WAKAZI WA KIGAMBONI WAKIPATIWA HUDUMA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni