Jumatatu, 15 Agosti 2016

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni wametembelea kituo cha kulea wazee wasiojiweza kilichopo Nunge katika Wilaya ya Kigamboni.Wakiwa kituoni hapo walizungumza na wazee waliopo katika kituo hicho na kutoa onyo kali kwa wale ambao huuza vitu wanavyopewa kama msaada kituoni hapo.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Hashim Mgandilwa  (mwenye Baragashia) pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni wa kwanza kushoto Bw Stephen Katemba wakiukabidhi uongozi wa kituo cha kulea wazee wasiojiweza msaada wa vitu mbalimbali.



























Maoni 1 :

  1. ba kuulz ukitokea temeke unafikaje au unapanda gar zipi
    had kwenye hicho kituo

    JibuFuta