Jumatatu, 10 Oktoba 2016

Mkuu wa Wilaya azindua kampeni ya Mti wangu.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Hashim Mgandilwa amezindua siku ya upandaji mti Kiwilaya ambapo Kimkoa ilizinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ikiwa na kauli mbiu "MTI WANGU"

Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni imepanda jumla ya miti 1650 na zoezi hili ni endelevu lengo likiwa ni kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Bw. Hashim Mgandilwa (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Bw. Stephen Katemba siku ya upandaji mti" MTI WANGU"

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni