Alhamisi, 3 Agosti 2017

KARIBU KATIKA BANDA LETU MOROGORO

Karibuni sana katika banda letu la maonesho lililopo katika viwanja vya Nane Nane Mkoani Morogoro. Katika banda hili mtajifunza ukulima wa kisasa, ufugaji wa kisasa kwa mifugo ya aina zote na njia mpya za Kilimo biashara na kutambua maeneo ya uwekezaji.

Karibuni sana, sana.


Mstahiki Meya Maabad Suleiman Hoja (Katikati) akiwa na Naibu Meya Mhe. Amin Mzuri Sambo(kulia) na Mkurugenzi Bw. Stephen Katemba
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni