Ijumaa, 2 Septemba 2016

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Bw. David Mgonja akizungumza na Watumishi wapya wa Halmashauri ya Kigamboni kabla ya kumkaribisha Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar Es Salaam Bibi Theresia Mmbando. Watumishi hawa ni matokeo ya Mgawanyo wa watumishi wa Temeke Manispaa ambao baadhi yao wamehamishiwa Halmashauri ya Kigamboni

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni