Ijumaa, 2 Septemba 2016

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar Es Salaam Bibi Theresia Mmbando (wa kwanza kulia) akiongea na watumishi wapya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni mara baada ya kuripoti Ofisini. Katibu Tawala aliwapongeza watumishi hao kwa kupata kituo kipya cha kazi na kuwaasa wafanye kazi kwa weledi na ufanisi wa hali ya juu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni