Jumatatu, 12 Septemba 2016

Utambuzi wa Mipaka ya Soko la Urassa



Mtendaji wa Kata ya Kigamboni Bw. Msafiri Munna (katikati) akionyesha mipaka ya soko la Urassa kwa timu ndogo iliyokuwa imeambatana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kigamboni Bw. Stephen Katemba (wapili kulia). Soko hili limezungukwa na majengo mbalimbali yakiwemo maduka na nyumba za kuishi


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni