Jumatatu, 12 Septemba 2016

Mkurugenzi akiwa Tandavamba

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Bw. Stephen Katemba akijitambulisha kwa wakazi wa Mtaa wa Feri (Tandavamba) pia aliwaahidi kutekeleza yale yote yatakayoelekezwa na Mkuu wa Wilaya kwani yeye ndio Mtendaji katika Halmashauri.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni