Ijumaa, 29 Septemba 2017

BARAZA MAALUMU LA KUPITIA TAARIFA YA UFUNGAJI WA HESABU UNAOISHIA 30 JUNI

Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani ukiongozwa na Mstahiki Meya Maabad Suleiman Hoja kwa ajili ya  kupitisha  taarifa ya ufungaji wa Mahesabu kwa mwaka unaoishia 30 Juni 2017










Mkurugenzi Bw. Stephen E. Katemba (aliyesimama) akiwasilisha agenda

Viongozi wa Halmashauri wakifuatilia agenda mbalimbali kwa umakini


Waheshimiwa Madiwani wakisikiliza uwasilishaji wa Agenda tayari kwa kuchangia

Mhe. Sanya Bunaye Diwani wa Kata ya Kimbiji (wakwanza kulia) akichangia mada katika mkutano wa baraza


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni