Jumapili, 20 Agosti 2017

USAFI KWANZA

Wananchi wa Kigamboni mnatakiwa kufanya usafi kuzunguka maeneo yenu ya makazi na biashara. Ukaguzi utaendelea kufanyika na endapo eneo lako litakuwa chafu, hatua za kisheria zitachukuliwa ikiwemo faini za papo kwa papo.

Vijana wa Kigamboni wakiwa tayari kuingia msituni kupambana na adui takataka. Kigamboni safi ya mfano inakuja

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni